Tuesday, May 7, 2013

VAZI LAMUUMBUA MKENYA....MATITI YOTE HADHARANI


Mrembo  wa  kikenya  amejikuta  akiambulia  aibu  ya  mwaka  baada  ya  kivazi  chake  kumuumbua  na  kuyaanika  matiti  hadharani......

Aibu  hiyo  ilimkuta  ukumbini  baada  ya  kunyoosha  mkono  wake  ili  naye  ashangilie  kama  walivyokuwa  wanafanya  wenzake  ambao  walikuwa  wamevaa  kiheshima...


Baada  ya  kuutupa  mkono  hewani, gauni  lake  ambalo  ni  "kata  kifua"  lilishuka  na  kuianika  chuchu  hadharani...


Hili  ni  fundisho  tosha  kwa  baadhi  ya  dada  zetu  wanaoukimbilia  UZUNGU  pasipo  kujipanga.

The good, the bad and the not-very-Punky


Last night's Met Ball proved that when it comes to dressing for a themed party there will always be those that nail it, those that fail at it and those who downright ignore it.
BY Bibby Sowray | 07 May 2013
Punk: Cara nailed it, Elle failed at it, and Anna Wintour ignored it.
Punk: Cara nailed it, Elle failed at it, and Anna Wintour ignored it. Photo: Getty
It's always tricky when a party is themed. It's especially tricky when said party isn't round your mate's flat on a Saturday night, but one of the year's most-publicised social highlights like, for instance, the Met Ball.
Brit model Cara Delevingne nailed it too, also in Burberry (who knew the heritage label had such a naughty side?). To be honest we fully expected to see Cara in a Fendi faux-hawk, safe in the knowledge that she doesn't give two hoots when it comes to looking OTT. But no, she was resplendent in a studded, slashed-to-the-belly-button dress. Super-smoky eyes, lashings of silver jewellery and hair that was just the right side of slick bizarrely made last night Cara's most sophisticated public appearance yet. Anne Hathaway's vintage Valentino was a pleasant surprise, too. Daringly sheer, the newly-peroxide star made up for her Oscars fashion blooper. Nicole Ritchie nailed it too in a look that was almost so wrong it was right - who else could pull off white-painted hair?

The Good: Sienna, Cameron and Nicole. Photos: Getty
Props must also go to Jessica Biel's nose ring, Cary Mulligan's oversized safety pin, Diane Kruger's pink-dipped pony and spiked clutch, Alexa's grungy Erdem number and Rooney Mara's zipped Givenchy and almost-black lips.
To the bad: Hello, Madonna! Read more about that one here. Joining her in the ranks of wrong was the event's honorary chair, Beyoncé. We're struggling to see what about this ensemble is Punk. She looks like she's being engulfed by flames from the ground up which is, err, 'edgy', but her minimal make-up and beach-tousled hair are just everyday Bey, which is about as far away from Punk as you can get. Meanwhile Elle Fanning looked plain terrified, or maybe she had been hypnotised by the tie-dye on her dress, and Karlie Kloss managed to make Louis Vuitton look like Monsoon, quite a feat. Kim Kardashian meanwhile gave us a couture morph suit.

The Bad: Kim, Beyonce and Karlie. Photos: Getty
IN PICTURES: Models at the 2013 Met Ball
Now, the third and final category: those who point blank refused to join in, aka too cool for childish themes. Enter Anna Wintour, who despite organising the event, went nowhere near Punk in her floral Chanel gown. We like to imagine that she let out an evil cackle as she saw Madonna and co tottering in. Likewise, Solange Knowles looked more disco diva than Nancy Spungen, Kylie Minogue clearly didn't get the memo and came dressed for an actual old-school ball and Gwyneth Paltrow, who was probably a bit too tired to make the effort following weeks of talking about being beautiful, seemed to think pink = Punk.

Not-very-Punky: Solange, Gwyneth, Kylie. Photos: Getty
In a category all of her own was Sarah Jessica Parker, who was the one person to go out-and-out knicker-flashing Punk and pull it off spectacularly thanks to her Giles creation and Philip Treacy mowhawk.

SJP. Photo: Getty
All the action from the 2013 Met Ball
So we suggest that unless you can pull off an SJP, which is unlikely unless you have Giles Deacon and Philip Treacy on speed dial, keep it simple, take Sienna and friends lead and pepper your look with Punk, don't overdose on it.
facebook
twitter

FBI watua Arusha kusaka magaidi

 7 Mei, 2013 - Saa 11:24 GMT

Makachero wa FBI wawasili Mjini Arusha kusaidia Polisi Tanzania kusaka magaidi

Makachero wa FBI kutoka Marekani wamewasili nchini Tanzania kusaidia katika upelelezi wa shambulizi la bomu lililotekelezwa katika kanisa katoliki mjini Arusha siku ya jumapili.
Mwandishi wa BBC Baruan Muhuza akiwa mjini Arusha anasema makachero hao wa FBI wako Tanzania kusaidiana na Jeshi la wananchi wa Tanzania na Polisi kutafuta undani wa tukio hili ambalo limeishtua na kuiweka serikali ya Tanzania katika wakati mgumu.
Baruan Muhuza anaongezea hali inaonekana kuwa ngumu zaidi hasa kutokana na aina ya matukio ambayo yamekuwa yakitokea katika siku za hivi karibuni yakihusisha viongozi wa dini ambapo wengi ya wanaodhurika huwa ni wa imani ya kikristo.
Wakati huo huo wakuu wa serikali wakishirikiana na viongozi wa kidini wameandaa mkutano utakaojumuisha viongozi wapatao 200.
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadiq amewaambia wanahabari kuwa wamelazimika kuandaa mkutano huo wa siku mbili kufuatia agizo la Rais Jakaya Kikwete.
Mkutano huo utajadili uhusiano bora baina ya wakrito na waislamu.

AIBU: MWANAUME AFUMANIWA NA MKE WA MTU GESTI AKIWA UCHI WA MNYAMA


Habari kamili zilizonaswa  na  waandishi  wetu  ni kwamba mwanaume aliyetajwa kwa jina la Baba Asha alidai kumfumania rafiki yake wa karibu, Baba Tony akiwa gesti na mkewe (jina linahifadhiwa), tayari kwa kuvunja naye amri ya sita. 
 
Tukio hilo la aibu ya milenia lilijiri katika nyumba ya kulala wageni ya Pumzika iliyopo maeneo ya Msimbazi Center, jijini Dar ambapo mara baada ya kumtia mikononi ‘mwizi’ wake ambaye mbali na urafiki pia ni majirani, ndipo akamchakaza sura vibaya na kumsababishia kuvuja damu.
 
Habari za kina zilidai kuwa mke wa Baba Asha alikuwa bafuni akioga, mara ukaingia ujumbe mfupi ‘sms’ kwenye simu yake ya kiganjani, ndipo mumewe akachukua kilongalonga hicho na kuufungua ujumbe huo.
 
Ilidaiwa kuwa mume alitaharuki kukutana na ujumbe uliokuwa ukimtaka mkewe kwenda Pumzika Guest House kukutana na jamaa huyo.
 
Iliendelea kudaiwa kuwa Baba Asha hakuyaamini macho yake, akausoma tena ule ujumbe na ndipo akagundua sms nyingine nyingi, vocha na fedha za mtandao alizokuwa akitumiwa mke wake kutoka kwa Baba Tony.
 
Chanzo kilidadavua kuwa baada ya kugundua mchezo mzima, Baba Asha akatulia na kumsubiri mkewe atoke bafuni ili kuliweka sawa suala hilo.
Ilifahamika kuwa mke aliporudi kutoka kuoga, mume hakuonesha dalili zozote, alichokifanya ni kumwita mkewe na kumwambia kuwa achague moja, kufungasha kilicho chake, aondoke nyumbani kwake au amwekee jamaa mtego anaswe ili ajue mke wa mtu ni sumu.
Jibu lilikuwa rahisi kwani alikubali kuweka mtego ili amnase mbaya wake ndipo atamsamehe.

Ilifahamika kuwa ilipita wiki moja kimyakimya kwani mara ya kwanza Baba Tony alichezwa na machale, alipofika kwenye gesti hiyo na kumwona mtu anayemfahamu, alimwambia yule mwanamke waahirishe.

Habari za uhakika ni kwamba wiki iliyopita, Baba Tony aliingia kwenye kumi nane, akajaa mzimamzima kwenye mtego wa fumanizi uliowekwa na Baba Asha na mkewe.

Mara baada ya kuona mwanaume mmoja (Baba Asha) akiwa na askari kwenye gesti hiyo akihaha, king’ora kililia kwenye akili ya mwandishi wetu ambaye hakufanya makosa, akamfuata mfumaniaji kwa nyuma hadi aliporuhusiwa kumfuata mkewe chumbani.

Chumbani mtiti ulikuwa mkubwa ambapo Baba Tony alikutwa kama alivyozaliwa huku mke wa mtu akiwa bado hajavua na ndipo mtiti ukaanza.
 Katika purukushani, Baba Asha alimpa kibano ‘mwizi’ wake hadi akamchana usoni na kumng’oa meno ya mbele, jambo lililosababisha kutokwa na damu nyingi.

Kama hiyo haitoshi, ili kuthibitisha kuwa mke wa mtu ni sumu, Baba Asha alimchoma jamaa huyo bisibisi kwenye makalio hadi askari alipoingilia kati na kumchukua mtuhumiwa kisha akamtoa nje.
Wakiwa nje ya gesti hiyo, Baba Tony aliomba kujisafisha damu na baada ya hapo alipigwa pingu tayari kwa kupelekwa Kituo cha Polisi, Pangani, Ilala...

Mkutano wa amani ya Somalia waanza London

7 Mei, 2013 - Saa 12:17 GMT

Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron na Rais wa Somalia Hassan Sheikh

Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron ameandaa mkutano wa kimataifa jijini London utakaojadili njia za kuisaidia Somalia kumaliza zaidi ya miongo miwili ya machafuko.
Mkutano huo utajikita zaidi katika masuala ya kujenga upya vikosi vya ulinzi na kukabiliana na ubakaji ambalo ni suala linalooonekana kama mwiko.
Somalia inatafsiriwa kama taifa lililoshindwa, lililokumbwa na vuguvugu la wanamgambo wa Kiislamu, uharamia na ukame tangu mwaka 2010 hadi 2012.
Takriban watu saba waliuawa katika mlipuko wa bomu kwenye gari uliotokea katika mji mkuu Mogadishu siku ya Jumapili. Kundi la Al – Shabab ambalo lina mafungamano na Al – Qaeda linadai kuhusika na shambulio hilo.
Mkutano huo ambao utakua chini ya uenyekiti wa Bw. Cameron na rais wa Somalia Hassan Sheikh Mahamoud unafuatia mkutano kama huo uliofanyika London na jijini Istanbul nchini uturuki mwaka jana, huku wasiwasi ukiongezeka katika jumuiya ya kimataifa kwamba Somalia imegeuka hifadhi ya wanamgambo wenye mahusiano na al Qaeda.
“Ninamatumaini kwamba, wote tunaweza kuafikiana kuhusu mpango wa usalama wa muda mrefu, ambao utamaliza vitisho vya Al Shabab moja kwa moja,” alisema Bw. Cameron.
“Pia ninamatumaini tutaboresha uwazi na uwajibikaji ili watu wafahamu wapi rasilimali zinakwenda. Pia tunahitaji kuendelea na mchakato wa kulijenga taifa la Somalia, ikiwemo mikoa yote ya Somalia na nchi jirani hali kadhalika.”
Mchambuzi wa masuala ya Somalia wa BBC, Mary Harper anasema, kumekuwa na mabadiliko ya ghafla nchini humo katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita.
Kuna serikali mpya, ya kwanza katika kipindi cha zaidi ya miongo miwili kutambuliwa na Marekani, Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) na wadau wengine muhimu, anasema.
Akina mama katika mkutano wa Msatakabal wa Somalia mwaka 2012 mjini London

Al – Shabab imepoteza udhibiti wa miji muhimu, mashambulizi ya maharamia nje ya pwani ya Somalia yamepungua sana pamoja na ukame, ambao Umoja wa Mataifa unakadiria kwamba, ulisababisha vifo vya takriban watu 260,000 sasa umemalizika.
Hata hivyo, changamoto kubwa zimebakia, ambapo Al – Shabab bado wana uwezo wa kushambulia na serikali inategemea askari wapatao 18,000 tu wa Umoja wa Afrika (AU), kwa ajili ya kulinda usalama.
Somalia pia imegawanyika katika maeneo madogo ya mikoa inayojitawala, mingi ikiwa haipatani na serikali kuu.
Mkoa uliojitenga wa Somaliland na mkoa wenye mamlaka ya kati wa Puntland wamesema hawatahudhuria mkutano huo.
Mkutano utajadili suala ambalo mpaka hivi karibuni lilionekana kuwa mwiko nchini Somalia – ubakaji hasa kwa wanawake wanaoishi kwenye makambi ya watu wasiokua na makazi .
Mfanyakazi wa Kisomali wa shirika la msaada, Ali Adan ameiambia BBC kuwa, uamuzi wa kujadili suala hilo kwenye mkutano ni hatua kubwa .
“Unyanyasaji kingono ni jambo ambalo lilikuwa halizungumziwi nchini Somalia,” anasema.
Jumuiya ya Kimataifa yenyewe imeona umuhimu wa kujadili suala hilo haraka iwezekanavyo kwa sababu limekithiri.
Waziri Mkuu wa Uingereza na David Cameron akiwa na Rais Hassan Sheikh

Wajumbe kutoka zaidi ya nchi 50 na mashirika mbalimbali wanatarajiwa kuhudhuria mkutano huo.
Jumatatu nchi ya Qatar ilisema shambulio la bomu la Jumapili mjini Mogadishu liliwalenga maafisa wake, limearifu Shirika Rasmi la Habari la Qatar, QNA.
Maafisa hao wanne walikuwa wakisafiri kwa kutumia gari la kijeshi la serikali ya Somali wakati msafara wao uliposhambuliwa. Hakuna raia wa Qatar aliyejeruhiwa.
Hata hivyo, watu wengine 10 walijeruhiwa katika shambulio hilo, kwa mujibu wa mwandishi wa BBC mjini Mogadishu.

JACK WOLPER AKANUSHA KUTUPIWA VITU VYAKE NJE BAADA YA KUSHINDWA KULIPIA KODI YA NYUMBA

 

Baada ya story ya mwanadada Jacqueline wolper kutolewa nje pamoja na vitu vyake kuzagaa kwenye vyombo vya habari hususani magazeti, tuliamua kumtafuta mwanadada huyu ili tupate ukweli wa jambo hilo na kuamua kumtafuta hewani

Mwandishi: Mambo Jack, mzima wewe? Jacqueline Wolper: Mi mzima, vipi salama?

Mwandishi: Salama kabisa, vipi kuhusu hii habari ya kutolewa vitu nje ya nyumba? Nini tena kimetokea?
 
Jacqueline Wolper: Hiyo habari sio ya ukweli kama ilivyo, ukweli ni kwamba  sijatolewa vitu ila nimehama sehemu niliyokuwa nakaa na kuhamia sehemu nyingine

Mwandishi: Kitu gani kilitokea mpaka kukawa na hizi habari za kutolewa vitu nje? Na ulikuwa unakaa wapi?
 
Jacqueline Wolper: Mwanzo nilikuwa nakaa ,Mbezi beach, kwenye apartment ya kama USD 1500 kwa mwezi, na nilikuwa nakaa mwenyewe, na kama unavyojua huwa nawalea wadogo zangu na muda huo walikuwa wapo chuo. Ila walipomaliza nikaona badala ya mimi kukaa mwenyewe ni bora nitafute nyumba nyingine mbili ili wakae wenyewe na mimi nikae mwenyewe. 

Ndo maana nikahama huko mbezi beach. Sa sijui hao wanaosema nimetolewa vitu nje wanatoa wapi hayo maneno. Labda kama walipiga picha wakati nahama na kuamua kujitengenezea stori.
 
Mwandishi: Unahisi ni kwanini wameandika kuwa umetolewa vitu nje?
 
Jacqueline Wolper: Mmmh! Siwezi kujua na wala hainisadii, maana sio kweli. Mi sukuona sababu ya kulipa hizo hela kwa mwezi wakati naweza kukaa kwenye nyumba nzuri ya $800 au mia $900 kwa mwezi na nikawatafutia wadogo wangu nyumba nao wakae kwa gharama hiyo hiyo na kwa uhuru wao. 
 
 Kwangu mimi haina maana hata kidogo kwa sasa kulipa hela zote bila sababu, Wakati nipo mwenyewe ilikuwa sawa ila sasa it doesn’t make sense at all. Kuna mambo mengine ya muhimu ya kufanya. Na isitoshe suala la foleni. So sijui waliondika hivyo wanatafuta nini kwangu.
 
Mwandishi: Basi tunashukuru sana Jack kwa maelezo yako.
 
Jacqueline Wolper: Asanteni sana

JUU ni baadhi ya Picha za nyumba anayoishi jackline wolper sasa baada ya kuhama mbezi
Bongomovie

Internet sales tax bill faces tough sell in House

 Sen. Patrick Leahy, D-Vt., president pro tempore of the Senate, right, and Sen. Thad Cochran, R-Miss., left, walk to the floor of the Senate during a vote on legislation to collect sales tax on Internet purchases, on Capitol Hill in Washington, Monday, May 6, 2013. (AP Photo/J. Scott Applewhite) 

Associated Press/J. Scott Applewhite - Sen. Patrick Leahy, D-Vt., president pro tempore of the Senate, right, and Sen. Thad Cochran, R-Miss., left, walk to the floor of the Senate during a vote on legislation to collect sales tax on Internet purchases, on Capitol Hill in Washington, Monday, May 6, 2013. (AP Photo/J. Scott Applewhite)
WASHINGTON (AP) — Traditional retailers and cash-strapped states face a tough sell in the House as they lobby Congress to limit tax-free shopping on the Internet.
The Senate voted 69 to 27 Monday to pass a bill that empowers states to collect sales taxes from Internet purchases. Under the bill, states could require out-of-state retailers to collect sales taxes when they sell products over the Internet, in catalogs, and through radio and TV ads. The sales taxes would be sent to the states where a shopper lives.
Current law says states can only require retailers to collect sales taxes if the merchant has a physical presence in the state.
That means big retailers with stores all over the country like Wal-Mart, Best Buy and Target collect sales taxes when they sell goods over the Internet. But online retailers like eBay and Amazon don't have to collect sales taxes, except in states where they have offices or distribution centers.
"This bill is about fairness," said Sen. Mike Enzi, R-Wyo., the bill's main sponsor in the Senate. "It's about leveling the playing field between the brick and mortar and online companies and it's about collecting a tax that's already due. It's not about raising taxes."
The bill got bipartisan support in the Senate but faces opposition in the House, where some lawmakers regard it as a tax increase. Grover Norquist, the anti-tax advocate, and the conservative Heritage Foundation oppose the bill, and many Republicans have been wary of crossing them.
Supporters say the bill is not a tax increase. In many states, shoppers are required to pay unpaid sales tax when they file their state tax returns. However, states complain that few taxpayers comply.
"Obviously there's a lot of consumers out there that have been accustomed to not having to pay any taxes, believing that they don't have to pay any taxes," said Rep. Steve Womack, R-Ark., the bill's main sponsor in the House. "I totally understand that, and I think a lot of our members understand that. There's a lot of political difficulty getting through the fog of it looking like a tax increase."
House Speaker John Boehner, R-Ohio, has not commented publicly about the bill, giving supporters hope that he could be won over. Rep. Bob Goodlatte, R-Va., chairman of the House Judiciary Committee, which would have jurisdiction over the bill, has cited problems with the legislation but not rejected it outright.
"While it attempts to make tax collection simpler, it still has a long way to go," Goodlatte said in a statement. Without more uniformity in the bill, he said, "businesses would still be forced to wade through potentially hundreds of tax rates and a host of different tax codes and definitions."
Goodlatte said he's "open to considering legislation concerning this topic but these issues, along with others, would certainly have to be addressed."
Internet giant eBay led the fight against the bill in the Senate, along with lawmakers from states with no sales tax and several prominent anti-tax groups. The bill's opponents say it would put an expensive obligation on small businesses because they are not as equipped as national merchandisers to collect and remit sales taxes at the multitude of state rates.
Businesses with less than $1 million in online sales would be exempt. EBay wants to exempt businesses with up to $10 million in sales or fewer than 50 employees.
"The contentious debate in the Senate shows that a lot more work needs to be done to get the Internet sales tax issue right, including ensuring that small businesses using the Internet are protected from new burdens that harm their ability to compete and grow," said Brian Bieron, eBay's senior director of global public policy.
Some states have sales taxes as high as 7 percent, plus city and county taxes that can push the combined rate even higher.
Many governors — Republicans and Democrats — have been lobbying the federal government for years for the authority to collect sales taxes from online sales.
The issue is getting bigger for states as more people make purchases online. Last year, Internet sales in the U.S. totaled $226 billion, up nearly 16 percent from the previous year, according to government estimates.
States lost a total of $23 billion last year because they couldn't collect taxes on out-of-state sales, according to a study done for the National Conference of State Legislatures, which has lobbied for the bill. About half of that was lost from Internet sales; half from purchases made through catalogs, mail orders and telephone orders, the study said.
Supporters say the bill makes it relatively easy for Internet retailers to comply. States must provide free computer software to help retailers calculate sales taxes, based on where shoppers live. States must also establish a single entity to receive Internet sales tax revenue, so retailers don't have to send it to individual counties or cities.
Opponents worry the bill would give states too much power to reach across state lines to enforce their tax laws. States could audit out-of-state businesses, impose liens on their property and, ultimately, sue them in state court.

Israel airstrikes loom over US diplomacy on Syria


MOSCOW (AP) — Secretary of State John Kerry is making his case to Russian President Vladimir Putin for Russia to take a tougher stance on Syria at a time when Israel's weekend air strikes against the beleaguered Mideast nation have added an unpredictable factor to the talks.
Kerry arrived Tuesday in Moscow for talks with the most powerful ally of Syrian President Bashar Assad's regime.
Officials said Kerry hopes to change Moscow's thinking on Syria with two new angles: American threats to arm the Syrian rebels and evidence of chemical weapon attacks by the Assad regime.
Over the weekend, Israeli warplanes targeted what Israel claimed were caches of Iranian missiles bound for Hezbollah, the Lebanon-based terror group. Such weapons would allow Hezbollah to strike Tel Aviv and as far as southern Israel from inside Lebanese territory.
Israel's willingness to hit Syrian targets it sees as threats to its own existence has complicated the Obama administration's internal debate over what to do about Syria.
Israel's actions put Damascus and Moscow on notice that the U.S. and its allies may not wait for an international green light to become more actively engaged in the Syrian conflict. The administration said last week it was rethinking its opposition to arming the Syrian rebels or taking other aggressive steps to turn the tide of the two-year-old civil war toward the rebels.
At the same time, Israeli involvement in the war carries risks. Instead of prodding Russia into calling for Assad's ouster, it could bring greater Arab sympathy for Assad and prompt deeper involvement from Iran and Hezbollah, actors committed as much to preserving Assad as to fighting the Jewish state.
Although Israel hasn't officially acknowledged it carried out the airstrikes, Syrian officials on Monday were blaming Israel, calling them a "declaration of war" that would cause the Jewish state to "suffer."
Russia, alongside China, has blocked U.S.-led efforts three times at the United Nations to pressure Assad into stepping down.
U.S. officials are hoping Syria's behavior could shift Russia's stance.
"We have consistently, in our conversations with the Russians and others, pointed clearly to Assad's behavior as proof that further support for the regime is not in the interest of the Syrian people or in the interest of the countries that have in the past supported Assad," White House spokesman Jay Carney said.
U.S. officials said the administration doesn't believe the weekend activity will force President Barack Obama's hand, noting that the main U.S. concern is the use of chemical weapons by Assad, while Israel's top concern is conventional weapons falling into the hands of its enemies.
The chemical weapons argument is now under surprising attack, with former war crimes prosecutor Carla Del Ponte saying over the weekend she and fellow members of a four-member U.N. human rights panel have indications the nerve agent sarin was used by Syrian rebel forces, not by government forces.
That theory was rejected by U.S. officials. The State Department said the administration continues to believe that Syria's large chemical weapons stockpiles remain securely in the regime's control.
The Obama administration opened the door to new military options in Syria after declaring last week it strongly believed the Assad regime used chemical weapons in two attacks in March. Two days after that announcement, Defense Secretary Chuck Hagel said arming the Syrian rebels was a policy consideration.
Until now, U.S. efforts to bolster the rebels' fighting skills and gather intelligence on the groups operating inside Syria have been limited to small training camps in Jordan, according to two U.S. officials who weren't authorized to speak about secret activities and demanded anonymity.
There are several options for escalation, ranging from arming the rebels to targeted airstrikes and no-fly zones. However, arming the rebels is the most likely escalation, officials said.
While the Israeli actions have made Kerry's Russia efforts more unpredictable, some in Congress tried to be optimistic.
Maryland Rep. Dutch Ruppersberger, the top Democrat on the House Intelligence Committee, said he hopes Kerry can persuade Russia to use its influence to convince the besieged Syrian leader that he should step down.
"Hopefully the cooperation on the (Boston) Marathon bombing will open the door there," Ruppersberger said.
After visiting Moscow for the first time since he became secretary of state, Kerry will travel to Rome
for talks with members of the new Italian government, as well as meetings with Israeli Justice Minister Tzipi Livni and Jordanian Foreign Minister Nasser Judeh to discuss Middle East peace prospects.

DRC eneo baya zaidi kwa mama kulea watoto

 7 Mei, 2013 - Saa 10:03 GMT

Wanawake katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wakiandamana
Shirika la Save the Children, limeeleza kuwa, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kuwa ndio nchi ngumu zaidi duniani kulea watoto.
Nchi ya Finland imetajwa kuwa sehemu bora duniani kuwa mama, huku Sweden na Norway zikifuatia katika nafasi ya pili na tatu.
Shirika hilo la hisani limetumia vigezo vya huduma ya afya kwa akina mama, vifo vya watoto, elimu na kipato katika nchi 186 duniani kutoa takwimu hizo.
Nchini India, zaidi ya watoto 300,000 hufariki dunia saa 24 baada ya kuzaliwa, hivyo kuchangia 29% ya vifo vya watoto wanaozaliwa duniani kote imeeleza ripoti ya shirika hilo.
Nchi kumi zilizoshika nafasi ya mwisho zote zinatoka eneo la Kusini mwa Jangwa la Sahara, ambako kwa wastani, mwanamke mmoja katika 30 hufariki dunia kutokana na matatizo ya ujauzito na mtoto mmoja kati ya saba hufariki kabla ama baada ya kufikisha umri wa miaka mitano.
Nchini DRC, vita na umasikini vimewaacha akina mama wakiwa dhoofu kiafya na bila msaada wowote hasa wakati wa hatari kubwa katika maisha yao.
Nchi nyingine zilizotajwa kuwa hatari ni Somalia, Sierra Leone, mali, Niger, Jamhuri ya Afrika ya Kati, Gambia, Nigeria, Chad na Cote D’Ivoire.
Shirika hilo la hisani limesema, ukosefu wa lishe bora ni sababu kubwa ya kuongezeka kwa idadi ya vifo vya akina mama na watoto wachanga katika nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara, huku 10% - 20% ya akina mama wakiwa hawana uzito unaostahili.
Kinyume chake, matokeo hayo yanaonesha kuwa, Finland ni nchi bora kuwa mama, huku hatari za vifo vitokanavyo na ujauzito ikiwa ni moja kati ya akina mama 12,200 na watoto katika nchi hiyo wakihudhuria karibu miaka yote 17 ya elimu ya awali.
Congo ni mahali hatari zaidi kwa akina mama
Sweden, Norway, Iceland na Uholanzi zilikuwa pia miongoni mwa nchi bora 10, ambapo Marekani iko nyuma katika nafasi ya 30.
Lakini jambo la kustaajabisha, ripoti ya shirika hilo imebaini kuwa, Marekani ina kiwango cha juu cha vifo vya watoto wanaozaliwa katika nchi zenye viwanda duniani, ambapo watoto 11,300 hufariki dunia katika siku wanayozaliwa kila mwaka.
Shirika hilo limesema, hali hiyo inasababishwa na idadi kubwa ya watu nchini Marekani pamoja na wingi wa watoto wanaozaliwa kabla ya wakati. Marekani ni miongoni mwa nchi zenye kiwango cha juu cha watoto wanaozaliwa kabla ya wakati ikiwa na uwiano wa mtoto mmoja kati ya wanane.
Ipoti hiyo imegundua kuwa, akina mama na watoto hufariki dunia kwa idadi kubwa huko Kusini mwa Asia kuliko eneo lolote duniani, ikikadiriwa kuwa, watoto 423,000 hufariki dunia siku wanayozaliwa kila mwaka.
India imetajwa kuwa na idadi kubwa ya vifo vya watoto wachanga,(ikiwa ni 29% ya vifo duniani) na pia vifo vingi vya akina mama kuliko nchi yoyote duniani ambapo akina mama 56,000 hufariki kila mwaka.

Kenya yawafunga maisha raia wa Iran

 6 Mei, 2013 - Saa 11:18 GMT

Raia wa Iran Ahmad Mohammed na Sayed Mousavi wamefungwa maisha

Raia wawili wa Iran wamehukumiwa kifungo cha maisha katika mahakama moja ya Kenya kuhusiana na mashtaka ya ugaidi.
Raia hao ni Ahmad Mohammed na Sayed Mousavi ambao walishtakiwa wiki iliyopita kwa kumiliki vilipuzi, ambavyo inaaminika vilikuwa vitumiwe kwa kufanya mashambulizi.
"mwili unanisisimka nikifikiria hasara ambayo ingesababishwa na shambulizi hilo la kigaidi," amesema jaji Kiarie Waweru Kiarie, kama linavyoripoti shirika la habari la AFP.
Hata hivyo, serikali ya Iran imekana kuhusika na mpango huyo wa kuishambulia nchi ya Kenya.
Siku ya Jumapili, balozi wa Iran nchini Kenya, Malik Hussein Givzad, amesema ubalozi utasaidia familia za washtakiwa hao kukata rufaa dhidi ya hukumu iliyotolewa.
"kama ubalozi, tunachoweza kufanya ni kuzisaidia familia za washtakiwa kukata rufaa, iwapo mawakili wanahisi kwamba hakuna ushahidi wa kutosha," amenukuliwa balozi Givzad na gazeti la Kenya Daily Nation.
"nchi ya Iran ina uhusiano mzuri wa kibiashara na Kenya. Huu ulikuwa ni mchakato wa kisheria, tunauheshimu." ameongeza kusema.
Mahakama ilibaini kwamba Mohammed na Mousavi ambao wanahusishwa na mtandao ambao unapanga njama ya kulipua mji wa Nairobi na sehemu ya pwani ya nchi hiyo Mombasa.
Jaji Kiarie amesema ameamua kuwafunga maisha kwa sababu ya vilio vya waathirika wa milipuko iliyopita vilisikika zaidi kuliko kujitetea kwao, imeripoti AFP.
Mawakili kutoka upande wa utetezi wanadai kwamba, Mohammed na Mousavi walihojiwa na maafisa wa usalama wa Israel pindi walipokuwa wanashikiliwa.
Hata hivyo, upande wa mashtaka umekana tuhuma hizo.

Bomu Arusha:raia wa Saudia wanne wakamatwa

 6 Mei, 2013 - Saa 10:59 GMT

Shabulizi katika kanisa Katoliki la Arusha la sababisha taharuki
Polisi nchini Tanzania inawashikilia watu wa nane kwa madai ya kuhusika na mlipuko wa siku ya jumapili katika kanisa Katoliki la Olasit viungani mwa mji wa Arusha.
Miongoni mwa washukiwa ambao wako mikononi mwa polisi ni raia wanne wa Saudi Arabia, na wengine wanne ni raia wa Tanzania.
Wakati mwandishi wa BBC Baruan Muhuza akuzungumza akiwa hospitalini mjini Arusha amesema idadi ya watu waliofari dunia kufuatia mlipuko huo ni wawili na wala sio watatu kama ilivyoripotiwa hapo awali.
Polisi mjini Arusha vile vile wamethibitisha kuwa waliokufa wakati wa tukio hilo la kigaidi ni wawili.
Kwa wakati huu polisi wanachunguza ni kulipuzi aina gani kilitumika wakati wa shambulizi hilo.
Lakini Baruan Muhuza ambaye alitembelea eneo la tukio mbali na majeruhi hakuna hasara kubwa iliyotokea mahali hapo pia sakafi na kuta za kanisa hilo hazikuchimbika sana.
Kutoka Dar es Salaam Leornad Mubali anaongezea kuwa watu wawili sana wamethibitishwa kufariki dunia katika mlipuko huo uliotokea majira ya saa tano asubuhi katika kanisa katoliki la Olasit nje kidogo ya mji wa Arusha nchini Tanzania na wengine kadhaa kujeruhiwa huku balozi wa papa na watawa waliokuwa katika shughuli hiyo maalumu ya uzinduzi wa parokia mpya ya mtakatifu Yosefu mfanyakazi wakinusurika pia .
Kwa mjibu wa Padri Festus Mangwangi ambaye ni paroko msaidizi wa kanisa katoliki jimbo la Arusha mlipuko huo unapotokea walikuwa tayari katika hatua ya kubariki maji kwaajili ya uzinduzi wa kanisa ulikuwa ukiongozwa na balozi wa Papa Fransis.
Shambulizi la Arusha
Hata hivyo Padre Mangwangi ameiambia BBC kuwa taarifa walizonazo muda mfupi baada ya majeruhi kukimbizwa hospitali watu kati yao wamefariki huku wengine wakiendelea kupatiwa matibabu katika hospitali ya Mount Meru mjini Arrusha.
Shughuli zote kuhusiana na ibada hiyo zimesitishwa huku watalaalamu wa milipuko na polisi wakiendelea na uchunguzi kuhusiana na mlipuko huo.
Bado hakuna taarifa zozote kuhusiana na chanzo halisi cha bomu hilo ama kundi lolote linalodaiwa kuhusika na utegaji wa bomu hilo.
Hili ni shambaulio la kwanza la bomu nchini Tanzania japo kuwa mwaka huu pia kulikuwa na mtukio ya mauaji ya Padre wa kanisa hilo visiwani Zanzibar ambaye alipigwa risasi wakati akiwa anajiandaa kuingia kanisani.