Tuesday, May 21, 2013

UOVU DAR WAKITHIRI, PICHA ZA NUSU UCHI ZA KUNDI LA "ZE KOMEDI' ZAVUJA'.....HII NI ZAIDI YA AIBU

Picha za aibu  zinazowaonesha wasanii wa kundi la Ze Komedi wakiwa kwenye fukwe moja ya huko Kigamboni zimezua balaa kubwa ......
 Happy  kabla  hajavua  nguo.... 
==
Mtandao  huu  umefanikiwa  kuzipata  picha  hizi  kutoka  kwa  msomaji  wetu  mpendwa  ambaye  kwa  uzalendo  wake  ametutumia  kwa  njia  ya  email  huku  akielezea  kwa  kifupi  kuhusu  sakata  hilo  la  aibu.....
Happy akichezewa matiti na master Face huku akichekelea
Huyu  ni  Happy na Master  Face  wakifanya  Uchafu wao....Hapa  wanatomasana  kabla ya uzalendo kuwashinda  na  kuamua  kuvunja  amri  ya  sita...
Vipi  baby....umezidiwa.....!!!! Aibu tupu 
==
Mdau  huyo  anaripoti  kwamba, kundi  hilo  liliingia  ndani  ya  ufukwe  wa  Chadibwa  na  kuanza  kufanya  mambo  ya  aibu  mbele  ya  watu..... 
Wasanii  walioongoza  kwa  mambo  ya  aibu  ni  mdada  mmoja  aliyejulikana  kwa  jina  la HAPPY  ambaye  ni  mrembo  aliyejigeuza  mbwa  na  kukubali  kushikwashikwa  ovyo  matiti  yake  na  viungo  vingine  "sensitive"  bila  kujali  watu.....

 Matiti  bado  yanaendelea  kuteswa
Kiwewe  naye  alikuwa  kivyake  na  wakwake.....
  Mbali  na  Happy, kulikuwa  na Msanii KIWEWE ambaye  yeye  alikuwa  akijimilikisha  VIUNO  vya mabinti  hao  bila  aibu..... 
 Achilia  mbali Kiwewe, alikuwepo  pia  MANAIKI SANGA  ambaye  naye  alikuwa  akikumbatia  watatu  watatu....Cha  ajabu  ni  kwamba, yeye  alikuwa  kavaaa, akina  dada  walikuwa  uchi.....
 Aliyetia  aibu  ya  mwaka  ni MASTER FACE ambaye  kwa  mujibu  wa  mdau  alitutumia  picha  hizi  ni  kwamba  yeye  na HAPPY  walifikia  hadi  hatua  ya kuvunja  amri  ya  sita  nyuma  ya  gari.....!!!!
Uzalendo uliwashinda wakaamua  wamalizane....
 Asante  sana  mdau  kwa  picha  na  maelezo.....

Afya ya Rais Bouteflika yazua wasiwasi

 21 Mei, 2013

Baadhi ya vyombo vya habari vinasema Bouteflika yuko hali mahututi
Waziri mkuu wa Algeria amekanusha madai kuwa Rais Abdelaziz Bouteflika anaumwa sana akisema kuwa hali yake inaimarika kila siku mjini Paris.
Bwana Bouteflika, mwenye umri wa miaka 76, hajaonekana hadharani tangu kushikwa na kiharusi mwezi Aprili.
Waziri mkuu, Abdelmalek Sellal,amesema kuwa Madaktari wa Bouteflika wamemtaka apumzike kabisa wakati akiendelea kupata nafuu
Hali ya kiafya ya Bouteflika ambaye amekuwa mamlakani tangu mwaka 1999 imezua wasiwasi kuhusu uthabiti wa nchi Algeria.
Licha ya umri wake na afya yake inayozorota, kunao ambao bado wanaamini kuwa anaweza kuwania muhula wa nne katika uchaguzi utakaofanyika mwaka ujao.
Wendesha wakuu wa mashtaka, wametaka hatua za kisheria kuchukuliwa dhidi ya magazeti mawili yaliyoripoti kuwa Bouteflika yuko katika hali mahututi
Jarida la kifaransa la Le Point liliripoti kuwa bwana Bouteflika, aliyetibiwa Saratani mnamo mwaka 2005,yuko katika hali mbaya ya kiafya huku baadhi ya viungo vyake mwilini vikiwa vimeharibiwa.
Bwana Sellal, alisema kuwa habari za kupotosha zilizopeperushwa na baadhi ya vyombo vya habari, kuhusu afya ya rais zinahujumu usalama na maendeleo ya vyombo vya habari vya Algeria.

Wafyatuliwa risasi za mipira mgodini A.Kusini

 21 Mei, 2013 - Saa 12:29 GMT

Uhusiano kati ya wafanyakazi na wamiliki wa migodi umedorora
Wachimba migodi kumi wamejeruhiwa nchini Afrika Kusini baada ya walinzi kuwafyatulia risasi za mipira wafanyakazi wa migodini. Taarifa hii ni kwa mujibu wa duru za polisi.
Msemaji wa polisi Thulani Ngubane amesema kuwa wachimbaji migodi hao tayari wamepelekwa hospitalini.
Msemaji wa kampuni ya Lanxess, inayomiliki mgodi wa Chrome mine, alisema kuwa polisi waliwafyatua risasi hizo kama njia ya kujilinda.
Uhusiano kati ya wafanyakazi na wamiliki wa migodi umedorora hasa baada ya polisi kuwaua wafanyakazi 34 wa migodini katika mgodi wa Marikana mwaka jana.
Wiki jana wafanyakazi katika kampuni ya Lonmin waligoma kwa siku mbili.
Wachimba mgodi wa Lanxess chrome, walifanya mgomo ambao haukuwa umepangwa baada ya kutofautiana na waajiri wao kuhusu marupurupu yao.
Inaarifiwa kuwa hali imetulia baada ya kufyatuliwa riusasi za mipira katika mgodi wa Rustenburg Kaskazini mwa Johannesburg, na kuwa hakuna yeyote miongoni mwa waliojeruhiwa yuko katika hali mbaya.