BURUDANI

WASANII WATAKAOTUMBUIZA KATIKA SHOW YA UFUNGUZI WA BIG BROTHER WATAJWA

Show ya ufunguzi wa msimu mpya wa shindano la Big Brother Africa itafanyika Jumapili hii, May 26 nchini Afrika Kusini. 
Usiku huo utawaonesha washiriki wote 28 watakaoanza safari ya miezi mitatu ya kuzisaka dola laki tatu za msimu wa nane wa Big Brother Africa, The Chase.

Miongoni mwa wasanii watakaotumbuiza kwenye ufunguzi huo ni pamoja na STL wa Kenya, Don Jazzy, D’ Prince na Wande Coal kutoka Nigeria na kundi la Mafikizolo la Afrika Kusini.
Wande-Coal-Album
Pia mchekeshaji wa Kenya Daniel Ndambuki, maarufu kama Churchill atapanda kwenye stage kuwavunja mbavu watazamaji wa show hiyo katika nchi 50 barani Afrika. 
Show hiyo itaonekana live pia kupitia website ya Big Brother,.

 

NISHA WA BONGO MOVIE AWATOSA WATOTO YATIMA....


MSANII wa maigizo, Salma Jabu ‘Nisha,’ amedaiwa kuwatosa watoto yatima waliokuwa wakimsubiri baada ya kuweka ahadi kuwa angekwenda kuwatembelea na kuwapa msaada. 


Tukio hilo lilitokea hivi karibuni ambapo Nisha aliahidi kwenda kuwapa msaada watoto yatima wa kituo cha Hisan Orphan Center kilichopo maeneo ya Mbagala Charambe, jijini Dar lakini ulipofika muda, hakutokea.
 


Rafiki wa karibu na staa huyo aliyeomba hifadhi ya jina lake, alipoulizwa kulikoni alikiri kutotoa taarifa kwa uongozi wa kituo hicho cha watoto yatima na kudai walikuwa na dharura siku hiyo.

“Kuna tatizo lilitokea ikabidi tughairi. Tunaomba radhi kwa kuwafanya wasubiri sana ila niwaambie kuwa mpango wa Nisha kuwatembelea watoto yatima bado upo palepale,” alisema

 

"SIJAWAHI MVULIA NGUO MWANA FA"...HUSNA



MISS Sinza 2011, Husna Maulid, juzikati ameibuka na kudai kwamba katika maisha yake hajawahi kutoa penzi kwa msanii wa muziki wa Kizazi Kipya, Hamis Mwijuma ‘Mwana FA’.

Husna aliyasema hayo Mei 15 mwaka huu baada ya kuvumishiwa kuwa anatoka kimapenzi na staa huyo na kwamba, kwa sasa hakuna kificho chochote kwani hadi picha zinazowaonyesha ukaribu wao zimezagaa kwenye mtandao.
“Sijawahi kutoka na Mwana FA, zaidi ya kufanya naye tangazo ambalo niliombwa na dada’ngu, Mboni Masimba nikafanye naye kwa ajili ya shoo ambayo anaiandaa hivi karibuni, wanaonihusisha na mapenzi na Mwana FA hawanitendei haki hata kidogo maana sijawahi hata kuwa na wazo naye,” alisema Husna Maulid.

Kris Kross rapper Chris Kelly's funeral held

Kris Kross rapper Chris Smith and his sister Jennifer Smith  
Kelly's rapping partner Chris Smith spoke alongside his sister Jennifer Smith

Related Stories

Chris Kelly of 1990s rap duo Kris Kross, who died last week at the age of 34, has been laid to rest in his home town of Atlanta, Georgia.
The rapper was known as Mac Daddy while in Kris Kross, who shot to fame in 1992 with their hit single Jump.
Producer Jermaine Dupri and rapper Da Brat wore their trousers backwards in homage to the duo, who were known for wearing their clothes back to front.
Bandmate Chris Smith delivered an emotional tribute to his "true friend".
Producer Jermaine Dupri with Chris Smith 
 Jermaine Dupri (left) wore his trousers backwards at the funeral in honour of Kelly
"It's been a struggle for me every day, but there was a peace that came over me this morning because I know he's in heaven," Smith said.
Smith was supported in the church by Dupri, who discovered the 1990s teenage duo in an Atlanta shopping centre.
Kelly's mother Donna Kelly Pratte continuously wept throughout the two hour service.
Numerous photos were shown of Kelly posing with music stars including Michael Jackson, Gerald Levert and Patti LaBelle.
Kris Kross topped the US charts in May 1992 and reached number two in the UK with their single Jump. The song stayed at number one in the US for eight weeks, selling four million copies.
Smith and Kelly were reunited in February to perform at a show celebrating the 20th anniversary of their record label So So Def.
Kelly's official cause of death will not be known until a toxicology report has been completed.

No comments:

Post a Comment