Sunday, May 26, 2013

Viongozi wa AU waanza mazungumzo

 27 Mei, 2013 
Baada ya sherehe za Jumamosi mjini Addis Ababa kuadhimisha miaka 50 tangu kuanzishwa kwa Umoja wa Afrika, viongozi wa Afrika sasa wanajadili baadhi ya matatizo yanayokabili bara hilo.
Rais Joseph Kabila wa DRC katika mkutano wa viongozi wa AU mjini Addis Ababa
Vita vya muda mrefu katika Jamhuri ya Demokrasi ya Congo vilichukua nafasi kubwa mazungumzo yalipoanza.
Tena majadiliano yakahusu pendekezo la kuyafanya mahakama ya jinai ya kimataifa, ICC, yaache hatua za kumfikisha mahakamani rais mpya wa Kenya na makamo wake kwa mashtaka ya uhalifu dhidi ya binaadamu.
Wanabalozi wanasema viongozi wa Afrika wamegawika kuhusu swala hilo.
Mawaziri wa Mashauri ya Nchi za Nje walikubaliana Alkhamisi, kabla ya viongozi kukutana, kwamba AU iiombe ICC kupeleka jukumu la kesi za Rais Uhuru Kenyatta na makamo wake Wiliam Ruto kwa mahakama ya Kenya.

Angelina Jolie's aunt dies of breast cancer

Angelina Jolie in London (April 2013) 
 Angelina Jolie's uncle praised the actress for electing to have a double mastectomy

Related Stories

Angelina Jolie's aunt has died of breast cancer, nearly two weeks after the Hollywood star said she had had a double mastectomy to avoid such a fate.
Debbie Martin passed away at the Palomar Medical Centre in Escondido on Sunday, aged 61, the hospital said.
Mrs Martin was the sister of Jolie's mother Marcheline Bertrand, who died of breast cancer in 2007 at the age of 56.
Her husband, Ron Martin, said the sisters had both had the same mutated BRCA1 gene, which Jolie inherited.
"Angelina has been in touch throughout the week and her brother Jamie has been with us, giving his support day by day," he told E! News.
"They both loved Debbie very much and although Angie is not able to come right now she has sent her love and support which was very nice."
Mr Martin also praised the actress for electing to have a double mastectomy, telling the Associated Press: "Had we known, we certainly would have done exactly what Angelina did."
On 14 May, the 37 year old wrote in the New York Times that she had had the operation after doctors estimated she had an 87% risk of breast cancer and a 50% risk of ovarian cancer.
"I decided to be proactive and to minimise the risk as much I could," she explained, adding that her chances of developing breast cancer had now dropped to less than 5%.
The BRCA1 gene is present in everyone but only mutates in one in 1,000 people. Anyone with the mutation has a 50-80% chance of developing breast cancer.

facebook
google
like
other

Rocket fired from Lebanon towards Israel

A rocket has been fired from southern Lebanon towards Israel, according to Lebanon's state-run National News Agency.

Rocket fired from Lebanon toward Israel
Israeli soldiers patrol by the Lebanese-Israeli border Photo: AP
The news agency said the rocket was fired from a location near the southern town of Marjayoun, about six miles north of the Israeli border. It was not immediately clear who fired the rocket or whether it caused any damage or casualties.
"An explosion was heard. Soldiers are searching the area. The cause is still being investigated," an Israeli military spokesman said. A second Israeli military source said the explosion was probably caused by a mortar.
The incident came amid heightened tensions in the region over Syria's civil war. Damascus has said it will respond to Israeli air strikes earlier this month against suspected Iranian missiles in Syria destined for the Lebanese militant group Hezbollah.
In addition to Hezbollah, militant Palestinian groups are also known to operate in south Lebanon.
Earlier on Sunday, two rockets hit Hezbollah strongholds in south Beirut, tearing through an apartment and car dealership, wounding four Syrian workers.
Your own,
  http://karibupemba.blogspot.com/ 
like
facebook

Kenya kumbe yamjua Adebolaje

 26 Mei, 2013
Wakuu wa Kenya na Uingereza wamethibitisha kuwa raia mmoja wa Uingereza - mmoja kati ya vijana wawili waliokamatwa kwa kumchinja mwanajeshi mjini London - alikamatwa Kenya zaidi ya miaka miwili iliyopita.
Mtu atoa heshima zake pahala alipochinjwa mwanajeshi wa Uingereza mjini London
Wizara ya Mashauri ya Nchi za Nje ya Uingereza imesema ubalozi wake Kenya ulimpa msaada wa kibalozi Michael Adebolajo.
Mkuu wa idara ya kupambana na ugaidi nchini Kenya, Boniface Mwaniki, aliliambia shirika la habari la Associated Press kwamba Bwana Adebolajo alikamatwa Novemba mwaka wa 2010, akishukiwa kujitayarisha kupigana pamoja na wapiganaji wa Kiislamu wa Somalia.
Msemaji wa serikali ya Kenya, Muthui Kariuki, anasema Bwana Adebolaje alipofungwa alikuwa na jina jengine, na ndio sababu hapo awali alikana kuwa mtu huyo aliwahi kwenda Kenya.
Aliiambia BBC kwamba baadae Adebolaje alikabidhiwa kwa wakuu wa Uingereza.
Hivi sasa watu 6 wanazuwiliwa na polisi wa Uingereza kwa kuhusika na mauaji ya mwanajeshi siku ya Jumatano.


Viongozi wa AU waanza mazungumzo

 26 Mei, 2013
Baada ya sherehe za Jumamosi mjini Addis Ababa kuadhimisha miaka 50 tangu kuanzishwa kwa Umoja wa Afrika, viongozi wa Afrika sasa wanajadili baadhi ya matatizo yanayokabili bara hilo.
Rais Joseph Kabila wa DRC katika mkutano wa viongozi wa AU mjini Addis Ababa

Vita vya muda mrefu katika Jamhuri ya Demokrasi ya Congo vilichukua nafasi kubwa mazungumzo yalipoanza.
Tena majadiliano yakahusu pendekezo la kuyafanya mahakama ya jinai ya kimataifa, ICC, yaache hatua za kumfikisha mahakamani rais mpya wa Kenya na makamo wake kwa mashtaka ya uhalifu dhidi ya binaadamu.
Wanabalozi wanasema viongozi wa Afrika wamegawika kuhusu swala hilo.
Mawaziri wa Mashauri ya Nchi za Nje walikubaliana Alkhamisi, kabla ya viongozi kukutana, kwamba AU iiombe ICC kupeleka jukumu la kesi za Rais Uhuru Kenyatta na makamo wake Wiliam Ruto kwa mahakama ya Kenya.

Niger yaonya Libya yaweza geuka Somalia

 26 Mei, 2013 


Rais Mahamadou Issoufou wa Niger amesema kuwa fujo katika eneo hilo zinatoka Libya, na ameonya kuwa Libya inaweza kuwa kama Somalia.
Rais Issoufou wa Niger na Rais Hollande wa Ufaransa mbele ya ikulu mjini Paris
Rais Issoufou alisema wapiganaji wa Kiislamu waliofanya mashambulio nchini Niger siku ya Alkhamisi walitoka kusini mwa Libya.
Inajulikana kuwa watu 35 waliuwawa katika mashambulio hayo dhidi ya kambi ya jeshi na mgodi wa uranium unaoendeshwa na Wafaransa.
Wapiganaji 10 ni kati ya watu waliouwawa.
Makundi ya wapiganaji wa Kiislamu walioteka sehemu kubwa ya Mali mwaka jana yamesema kuwa yamehusika na shambulio la Niger.
Waandishi wa habari wanasema tangu serikali ya Muammar Gaddaf kuondolewa miaka miwili iliyopita, pamekuwa na ukosefu wa sheria katika sehemu kubwa ya eneo la kusini mwa Libya.

Kenya yasema haimjui Adebolajo

 26 Mei, 2013 

Imetangazwa kuwa mkuu wa shirika la usalama la Uingereza, M-I-5, juma lijalo atafika mbele ya uchunguzi unaofanywa na bunge kujaribu kujua shirika hilo lilikuwa na habari gani kuhusu vijana wawili waliomchinja mwanajeshi mjini London.
Adebolajo (kusoto) na mwenzake, baada ya kumchinja mwanajeshi mjini London

Vijana hao Waislamu wenye msimamo mkali wakijulikana na idara ya usalama lakini M-I-5 itasailiwa zaidi kutokana na madai kwamba ilijaribu kumuajiri mmoja wao, Michael Adebolajo.
BBC iliarifiwa tuhuma hizo na mtu aliyesema kuwa ni rafiki wa Adebolajo.
Alisema watu wa usalama walizungumza na Adebolajo baada ya kijana huyo kurudi kutoka safari nchini Kenya, ambako anadai polisi wa Kenya walimtesa na kumuingilia kwa nguvu kijinsia.
Lakini msemaji wa serikali ya Kenya, Muthui Kariuki, ameshikilia kuwa Adebolajo hakupata kwenda Kenya:
"Sisemi kuwa hakujapata kuwa na magaidi nchini humo.
La, wameingia, sisi tumewakamata tulioweza na wengine pengine walikimbia.
Lakini ninavofahamu mimi kuhusu kisa hichi cha Michael Adebolajo, mimi nasisitiza kuwa huyu hajawahi kuingia nchi hii.
Nakwambia kuwa hatumjui huyu kijana."