Friday, May 31, 2013

TAARIFA YA TBC MCHANA: WABUNGE WA CHADEMA NA CUF WAOMBA RADHI BUNGENI

Dondoo za taarifa (audio imepachikwa hapo chini):
  1. Baraza la Mitihani la Taifa latangaza Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita Kitaifa
  2. Serikali mkoani Morogoro imeifunga shule ya Sekondari ya vipaji maalumu, Mzumbe kwa muda usiofahamika na kuwapa wanafunzi siku mbili, kuanzia leo, kuondoka shuleni hapo
  3. Wabunge wa CHADEMA, CUF waomba radhi Bungeni kutokana na utovu wa nidhamu uliojitokeza jana

No comments:

Post a Comment