Friday, May 31, 2013

PARAMOUNT STUDIO WADAI KUMDAI BUSTA RHYMES DOLA 70,300


  May 30, 2013
Paramount Studios na wanasheria wao wanamwambia Busta Rhymes “Gimme Some Money”. Busta Rhymes ameshafanya kazi kwenye studio nyingi katika miaka yake 20 yakuwepo kwenye kiwanda cha muziki, Emcee huyo anaewakilisha New York kwa sasa yuko matatizoni na moja ya studio za Paramount imeripotiwa na TMZ. Busta alichukua muda wa studio kwa saa 375 kwa ajili ya kuwepo studio kitu kilichokadiriwa malipo yake ni dola 70,300. Imeripotiwa ilikuwa ni kati ya mwa mwishoni mwa 2011 na mapema 2012 kwa wakati huo iliaminika Busta alirekodi albam inayoitwa “Year Of The Dragon” .Katika project hiyo aliwashirikisha wakali kama Lil Wayne, Rick Ross na Gucci Mane. Imekaririwa katika project hiyo mshiriki wake katika uzalishaji mshikaji na Dj wa siku nyingi wa Busta Rhymes Dj Scratch hakuwepo kwenye project hiyo. Kwa muda huo toka aliporekodi huko Busta Rhymes akasaini na Cash Maoney Records ingawa inamaanika kuwa ni Universal Records, ambapo amekuwepo toka alipoondoka Aftermath/Interscope mwaka 2006. Lakini Busta hajajibu kitu chochote hadharani kutokana na ripoti hiyo.

No comments:

Post a Comment