Saturday, May 18, 2013

Serikali yafuta kinyemela mtihani wa somo la Islamic


natoka Uk. 1
Afisa huyo akasemakuwa wao kama Bakwatawameshangaa na kushtukasana.Akasema kuwa pamojana kuwa hawakushirikishwawanakuja kupewa tu taarifa,lakini wanashangaa pia kwasababu hata walipopewataarifa na Kamishna waElimu, wameambiwa jambohilo liwe siri.Jambo hili linafanywa“SIRI, je Serikali inatakaWaislamu wasiambiwe?Kwanini? Kun                                                             agenda gani?Amehoji afisa huyo ambayehata hivyo hakutaka kutaja jina lake akisema kuwa yeyesio msemaji wa Bakwata.Awali taarifa juu ya kikaocha Wakristo na Wizara juu ya mitihani ya dini,zilianza kuvuja kupitia kwaWakristo waliohudhuriaambao walipokutana nawadau kutoka upande waWaislamu waliwalaumu nikwa nini hawakuhudhuriawakasaidiana kupinga uamuzihuo wa Serikali.Hata hivyo, wadau haokutoka Islamic EducationPanel waliwafahamishawadau hao wa Kikristo kuwa Ni rai yetu kwamba,madhali serikali imeonyeshania ya dhati katika kuletaumoja na upendo kwawananchi wake kidini, basifursa hiyo pia itumike kwakuwaacha Waislamu. Iachekurasimisha kuwa msemajiwa Waislamu ni Bakwata.Kama kuna jambo linahitajimawazo ya Waislamu, basimawazo yao hayawezikuwasilishwa na BAKWATA pekee. Lazima taasisi nyinginezinazowakilisha Waislamuzisikilizwe.Tunayasema hayatukizingatia kauli za baadhiya Wabunge hivi karibuniambao kauli zao zinaonyeshakuwa hueda Muislamu akiwanje ya Bakwata, anatafsiriwakama muhalifu au kavunjasheria za nchi.Lakini tunayasema haya pia tukizingatia kauli zawale waliosema kuwa hatuaya Serikali ya kuwadhibitiWaislamu chini ya Bakwata,na kwa namna moja aunyingine, kuingilia utendajiwa Baraza hilo, ikiwa ni pamoja na kuhusika katikakuweka viongozi wa ngaziza juu, ni ukandamizaji nakinyume cha sheria kwasababu haifanyi hivyo kwataasisi za dini nyingine.Wakataka Waislamuwaachwe.

No comments:

Post a Comment