Tuesday, July 30, 2013

The West is stuck in a dilemma over Egypt - it cannot endorse Mohammed Morsi's overthrow, but neither does it want to condemn the coup. On top of that, the US and the EU barely have any leverage over Cairo.
The western governments are caught on the horns of a dilemma over Egypt. Their silence on the military putsch against elected president Mohammed Morsi makes their insistence on democracy appear dishonest, but if they condemn Morsi's removal on July 3 too strongly, and refuse to cooperate with the new interim government, they will be relinquishing whatever influence they still have in Cairo.
According to Günter Meyer, director of the Center for Research into the Arab World at the University of Mainz, the West is desperate to maintain some kind of influence over Egypt, which has played a key role in US and European Middle East strategy for decades. Moreover, the fall of the Muslim Brotherhood is not exactly a bad thing for either the US or the German government, Mayer told DW, even though it conflicts with the West's claim of upholding democratic values: "Whichever way you want to turn it, it's clear that this is a military putsch."
Anti-Mursi protesters chant slogans during a mass protest to support the army in Tahrir square in Cairo, July 26, 2013. Many of those Egyptians opposed to ousted President Mohamed Mursi say their admiration for the army has never wavered, and that any anger was always directed at the generals in charge. In the turbulent world of Egyptian politics since Hosni Mubarak, a former air force marshal, was toppled, the military is seen as an institution that offers stability. REUTERS/Mohamed Abd El Ghany (EGYPT - Tags: POLITICS CIVIL UNREST TPX IMAGES OF THE DAY)  
Thousands of people turned out in Cairo to support the military coup in July
Democracy no priority under Mubarak
"We haven't just been stuck in this dilemma since Morsi's removal," says Christian Achrainer, Egypt expert at the German Council on Foreign Relations (DGAP). Even during the long reign of dictator Hosni Mubarak, which ended in 2011, the West valued stability above all else. The US and the EU were interested mainly in the security of their energy supply, the fight against terrorism, and the continuation of the peace agreement between Egypt and Israel. Calls for democracy and respect for human rights were kept in the background.
After the 2011 revolution, politicians and diplomats were forced into balancing strategic interests and rhetoric. Right now, hardly anyone in the West wants Morsi to be returned to office. And yet the call for power to be handed to a new elected government is at the top of the list of demands. The priority for governments in Europe and the US is that there is no further escalation of violence.
German Foreign Minister Guido Westerwelle called on the Egyptian authorities to "allow peaceful demonstrations and do everything to prevent further escalation," while the EU called for the release of all political prisoners, including Morsi. EU High Representative for Foreign Affairs Catherine Ashton, currently in Egypt, wants to move both the interim government and the Muslim Brotherhood, which supports Morsi, to dialogue. US Secretary of State John Kerry, for his part, also called for an end to the bloodshed. Last weekend alone, at least 80 people were killed in violent clashes on the streets.
No pressure on Cairo
Beyond the calls for calm, dialogue, and the return to democracy, the question remains: what leverage does the West have? The US transfers $1.5 billion (1.1 billion euros) to the Egyptian military every year. According to US law, this aid cannot be given to a government that has come to power through a coup.
According to Meyer, the Egyptian military knows only too well that Washington will not stop the payments: the strategic cooperation with the Egyptian army is simply too important to the US. The US government has put its national interests first and refused to describe the removal of Morsi as a coup. "This law has not shown itself to be a real weapon in any attempt to reverse the military coup or to apply pressure," says Meyer.
A supporter of deposed Egyptian President Mohamed Mursi carries a Mursi poster during a protest at the Rabaa Adawiya square, where Mursi supporters are camping, in Cairo July 27, 2013. At least 70 people died on Saturday after security forces attacked supporters of deposed President Mohamed Mursi in Cairo, Muslim Brotherhood spokesman Gehad El-Haddad said, adding the toll could be much higher. REUTERS/Mohamed Abd El Ghany (EGYPT - Tags: POLITICS CIVIL UNREST)  
At the same time, thousands of Morsi's supporters were outraged by his overthrow
The EU, for its part, barely has any leverage to influence developments in Cairo. Brussels can attach its aid and development programs to certain conditions, but Achrainer thinks that will have little impact. For one thing, the crisis-ridden EU lacks the financial means to make offers that could move the powerbrokers in Cairo to change course. For another thing, it is difficult for EU member states to find common ground for such offers. Achrainer thinks that easier access for Egyptian agricultural produce would be something that would interest the leadership in Cairo. But "while the Scandinavian countries may be ready to open the market in agricultural areas, the southern European states would be against it."
No one to talk to
It's not only leverage that's lacking. Achrainer says that there are few negotiating partners in Egypt willing to talk about democracy. The most important players in the country's escalating power struggle are the Muslim Brotherhood and the military. "Neither of them are players that you would really call pro-democratic," says Achrainer. "At the moment, we don't have any real partners to support." On top of that, he added, a one-sided show of support for this or that camp would create widespread outrage in the divided country.
Achrainer believes that the best course of action for the West at the moment is restraint. There is little to be gained from any kind of dogmatic demand. On top of this, contacts will have to be re-built with several political groups. "In the current crisis, we unfortunately just have to accept that the opportunities for having any influence are very slight," he concludes.

Kisa cha 'watoto mateka' Ghana


Polisi nchini Ghana wanawahoji wazazi walioshtakiwa kwa kuwafungia nyumbani wanao walio kati ya umri wa miaka minne na minane tangu kuzaliwa kwao.
Polisi walivamia makao yao yenye vyumba vinne mjini Accra,siku ya Ijumaa na kuwaokoa watoto hao , mvulana mmoja na wasichana wawili.
Wazazi hao waliwaambia polisi kuwa hawakutaka kuwatoa wanao nje kwa hofu ya kukusanyika na watu waovu.
Watoto hao sasa wamepelekwa katika makao ya kuwatunza watoto huku kukiwa na hofu kuwa wazazi wao huenda ni wagonjwa wa akili.
Mwandishi wa BBC mjini Accra anasema kuwa kisa hicho kimewashangaza sana watu mjini humo.
Inaarifiwa watoto hao walifungiwa nyumbani tangu kuzaliwa kwao na hawamkujua yeyote isipokuwa wazazi wao.
Aidha watoto hao waliishi katika chumba kimoja, huku Kondoo na kuku wakiwa katika vyumba viwili huku wazazi wao wakilala katika chumba chao kwenye nyumba hiyo iliyikuwa imejaa uvundo.
Nyumba ilionekana kama isiyoishi watu na licha ya kuwa haikuwa imesafishwa kwa miaka mingi, kuta zake zilikuwa na michoro.
Polisi walivamia nyumba hiyo baada ya jirani mmoja mwenye shauku kuwaarifu .
Wazazi wa watoto hao wanahojiwa na polisi pamoja na madaktari wa magonjwa ya kiakili mjini Accra, huku watoto hao wakipewa malezi na familia moja.
Msemaji wa polisi alisema kuwa wazazi wa watoto hao hawakuwahi kuruhusiwa kutoka nje ya nyumba yao.
Watoto waliwaarifu polisi kuwa baba yao ambaye hakuwa na ajira, aliwasomesha hesabu na kiingereza nyumbani kwao.

10 wauawa kwenye mashambulizi Nigeria

 
Kuna hofu kuwa mashambulizi ya kulipiza kisasi huenda yakafanyika
Kumetokea msururu wa mashambulio katika eneo lenye idadi kubwa ya wakristu, mjini Kano, Kaskazini mwa Nigeria.
Ripoti zinasema kuwa watu kumi wamefariki na wengine kujeruhiwa.
Walioshuhudia mashambulizi hayo wanasema kuwa mabomu yalitegwa karibu na baa moja iliyokuwa na watu wengi,baadhi wakicheza mchezo wa Pool na table tennis.
Eneo hilo limewahi kulengwa na washambuliaji wa kundi la kiisilamu la Boko Haram.
Takriban watu 20 waliuawa katika eneo hilo mwezi Machi wakati basi moja lililokuwa na abiria kushambuliwa kwa bomu.
Polisi pia walisema kuwa watu kadhaa walijeruhiwa kwenye mashambulizi hayo yaliyofanyika Jumatatu jioni.
Mmoja wa walioshuhudia mashambilizi hayo aliambia shirika la habari la AP kuwa moja ya milipuko ilionekana kutoka katika gari moja aina ya Mercedes-Benz liliokuwa limeegeshwa karibu na duka moja liliokuwa linauza vileo na vinywaji vingine mbali mbali.
''Baada ya shambulizi la kwanza , nilijirusha katika bomba moja, kujificha. Kulikuwa na milipuko mitatu,'' alisema Kolade Ade aliyeshuhudia milipuko hiyo.
Eneo hilo limewahi kulengwa katika siku za nyuma na kundi la Boko Haram ambalo linapigana likitaka kuwa na utawala wa kiisilamu katika jimbo la Kano lililoko Kaskazini mwa nchi.
Kundi hilo ambalo jina lake linamaanisha ''elimu ya kimagharibi ni haramu'' limekuwa likilenga shule za umma kwa mashambulizi pamoja na kuwashambulia raia wa kawaida.
Tangu kundi hilo kuanza harakati zake mwaka 2009, zaidi ya watu 2,000 wameuawa.
Licha ya kuwa hakuna kundi lolote limedai kuhusika na mashambulizi yaliyotokea kwenye basi mjini Kano,mapema mwaka huu, kundi la Boko Haram lililaumiwa sana.
Wadadisi wanasema kuwa mji huo wenye idadi kubwa ya waisilamu una wasiwasi kuwa huenda kukatokea mashambulizi ya kulipiza kisasi, hasa kwani watu hujitokeza kwenye barabara sana wakati huu wa mfungo wa Ramadhan.

Thursday, July 25, 2013

Njama ya uasi yatibuka Ivory Coast


Gereza la Maca ambako wahalifu sugu wanafungwa
Njama ya uasi pamoja na jaribio la wafungwa kutoroka jela kubwa zaidi nchini Ivory Coast imetibuka na kusababisha vifo vya wafungwa wawili.
Polisi walilazimika kurusha gesi ya kutoa machozi pamoja na kufyatua risasi ili kutuliza hali katika gereza la Maca mjini Abidjan.
Maafisa wanasema kuwa walinzi wawili wa magereza walijeruhiwa vibaya.
Purukushani lilizuka Jumanne jioni wakati wafungwa kadhaa walipovunja milango ya magereza yao na kuwaachilia huru baadhi ya wafungwa.
Gereza hilo huwahifadhi wahalifu sugu na baadhi ya maafisa kutoka kwa iliyokuwa serikali ya rais wa zamani Laurent Gbagbo.

Rais wa Sudan Kusini (Salva Kiir) avunja baraza la mawaziri


Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini
Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir, amelivunja baraza lake la mawaziri pamoja na kumfuta kazi makamu wa rais Riak Machar katika mabadiliko makubwa zaidi kuwahi kutekelezwa katika historia ya miaka miwili ya taifa hilo.
Aliyekuwa waziri wa habari, Barnaba Marial Benjamin, ameiambia BBC kuwa mawaziri wote kutoka kwa Makamu wa Rais Riek Machar wameondolewa.
Duru zinasema haijabainika iwapo kuna waziri yeyote miongoni mwa wale waliofutwa kazi atarejeshwa katika baraza jipya la mawaziri litakalobuniwa.
Pia hakuna sababu iliyotolewa kuhusiana na hatua ya rais kuwafuta kazi maafisa hao , lakini wadadisi wanasema kuwa Bwana Kiir na makamu wake Machar wamekuwa na mgogoro wa mamlaka kwa miezi kadhaa sasa.
Sudan Kusini imekumbwa na matatizo chungu nzima hasa ya kiuchumi tangu kujitenga na Sudan mwaka 2011.
Uthabiti wake umetatizwa na malumbano kati yake na Sudan kuhusu mipaka na swala la mafuta.
Hivi karibuni baadhi ya maafisa wa Bwana Kiir, wamekuwa wakizungumzia kuwepo minong'ono kuhusu uongozi wake.
Ripoti zinasema kuwa Kiir anajitahidi kusalia na ushawishi katika chama cha Sudan People's Liberation Movement (SPLM), ambacho kinathibiti serikali.
Kwa upande wake bwana Machar, ambaye mwezi Aprili alipunguziwa mamlaka, alisema huenda akagombea uongozi wa chama cha SPLM dhidi ya rais Kiir, kabla ya uchaguzi mkuu utakaofanyika mwaka 2015.
Kuvunja baraza la mawaziri ni dalili ya juhudi kubwa za rais kubadilisha sio tu serikali yake bali pia mamlaka na njia za kuingia madarakani nchini humo.
Ingawa mabadiliko yaliyotangazwa jana yamekuwa yakitarajiwa, wakati wa kutangazwa kwake ndio umeleta shaka na wasiwasi kuwa rais huenda anatumia mamlaka yake kubana upinzani na kuzuia mgawanyiko katika serikali yake.

Marekani kuchelewesha ndege kwa Misri


Marekani inanuia kuikabidhi Misri ndege 20 za kivita
Marekani imesema kuwa itachelewesha mpango wake wa kuikabidhi Misri ndege za kivita aina ya F-16 huku mgogoro wa kisiasa ukiendelea kutokota nchini Misri kufuatia kuondolewa mamlakani kwa aliyekuwa Rais Mohammed Morsi.
Msemaji wa idara ya ulinzi nchini Marekani, George Little alisema kuwa uamuzi huo ulifikiwa kutokana na hali inayokabili Misri kwa sasa.
Marekani inadadisi ikiwa kuondolewa mamlakani kwa Morsi ilikuwa mapinduzi ya kijeshi, hali inayoweza kusababisha Marekani kusitisha msaada wake kwa Misri.
Hapo jana mkuu wa jeshi la Misri Generali Sisi , aliitisha maandamano ya umma akiwataka wananchi kuliruhusu jeshi kukabiliana na kile alichokiita tisho la ugaidi.
Lakini Abdel Fattah al-Sisi aliongeza kuwa hakuwa anaitisha maandamano kwa lengo la vurugu huku akiwasihi wananchi kuwa na maridhiano.
Katika jibu lake kwa wito wa jeshi, chama cha Muslim Brotherhood, ambacho kinamuunga mkono Morsi, kilisema kuwa Generali Sisi alikuwa anaitisha vita vya wenyewe kwa wenyewe.
Ndege hizo nne aina ya F-16 ni sehemu ya ndege nyingine 20 ambazo zimeitishwa, kati ya hizo nane tayari zikiwa zimepelekwa Misri.
Hata hivyo Marekani iliahidi tarehe 11 mwezi Julai kuwa bado ina mpango wa kuikabidhi Misri ndege hizo.


Tuesday, July 23, 2013

Kiwanda cha kienyeji cha kutengeneza silaha chagundulika DSM

Kiwanda cha kienyeji cha kutengeneza vifaa na silaha mbalimbali,kimegundulika kuwepo jijini Dar es Salaam,ambapo wahusika wa kiwanda hicho wamekiri kuhusika katika matukio mbalimbali ya unyang'anyi wa kutumia silaha ambayo yamesababisha mauaji mengi sehemu mbalimbali.
 
Akizungumza na vyombo vya habari jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa polisi kanda maalum ya Dar es Salaam,kamishna msaidizi wa polisi kanda maalum ya Dar es Salaam DCP Ally Mlege,amesema katika hali ya kushangaza baada ya kukamatwa kwa baadhi ya watuhumiwa waliokuwa wakijihusisha na matukio ya ujambazi,hatimaye baada ya kubanwa na jeshi la polisi walikubali na kusema kiwanda hicho kilichopo maeneo ya Kawe Mzimuni kinatumika katika kutengeneza na kukarabati vifaa na silaha mbalimbali zinazotumika katika matukio ya uporaji na unyang'anyi ambavyo vilitumika na kusabisha mauaji mengi sehemu mbalimbali.
 
Aidha tapeli hatari bwana Mfaume Omary maarufu kwa jina la Mau(29)mkazi wa Magomeni Kagera,ameshikiliwa na jeshi la polisi kwa kosa la kutumia namba tofauti za mitandao ya simu na majina ya watu maarufu ikiwemo viongozi wa serikali na viongozi wa dini kwa lengo la kujipatia fedha kwa kuvaa uhusika wa mtu husika bila wanaombwa fedha hizo kugundua.
 
Jeshi la polisi limekanusha vikali kuhusu habari zilizoripotiwa na vyombo vya habari kuwa mbunge wa jimbo la Ubungo Mh John Mnyika amekoswa na bomu na kumjeruhi moja ya wafuasi wake kuwa ni la huzushi,na ukweli ni kwamba bomu hilo lililipuka ndani ya gari la polisi Pt .1902 wakati askari dcp Julius alipokuwa ndani ya gari akisogeza box lenye mabomu ya machozi na kwa bahati mbaya bomu hilo lililipuka ndani ya gari hilo lakini halikuleta madhara kwa askari polisi yeyote wala raia waliokuwa katika eneo hilo.