Monday, April 29, 2013

Waziri mkuu wa Syria aponea shambulizi

 29 Aprili, 2013 - Saa 07:57 GMT

Bomu lililokuwa limetegwa ndani ya gari karibu na shule moja katika mji mkuu wa Syria Damascus, limelipuka.
Inaarifiwa kuwa kuna majeruhi kadhaa kutokana na mlipuko huo.
Mlipuko wenyewe ulitokea katika mtaa wa Mazzeh, Kusini Magharibi mwa mji mkuu na inaaminika kuwa lilikuwa shambulizo la kujitoa mhanga.
Shirika la habari la serikali limeripoti kuwa shambulio hilo lilikuwa la kigaidi.
Kituo cha televisheini kinachosimamiwa na kundi la wapiganaji wa kiisilamu la
Hezbollah , kilisema kuwa shambulio hilo lililenga kumuua waziri mkuu wa nchi hiyo ingawa aliponea.
Waziri mkuu huyo, Wael al-Halki aliponea shambulizi hilo kwani lilikuwa limelenga msafara wa magari yake mjini Damascus.
Picha iliyowekwa kwenye mtandao na kundi hilo, ilionyesha moshi mkubwa angani ukitoka katika eneo la shambulio.
Duru kutoka kwa shirika la kutetea haki za binadamu la Syria na ambalo lina makao yake nchini Uingereza lilisema kuwa mtu mmoja aliyekuwa na waziri mkuu wakati wa shambulio hilo aliuawa.

Viini sugu vya Malaria vyagunduliwa

 29 Aprili, 2013 - Saa 09:08 GMT

Mmbu wanaosababisha Malaria
Aina mpya ya viini sugu vinavyosababisha Malaria na ambavyo havisikii dawa vimegunduliwa na wanasayansi.
Watafiti wamevigundua viini hivyo Magharibi mwa Cambodia na wanasema kuwa vina umbo tofauti la genetiki ikilinganishwa na viini vingine duniani.
Viini hivi ni sugu kiasi cha kutosikia dawa aina ya Artemisinin, dawa yenye nguvu zaidi katika kutibu Malaria.
Taarifa ya kwanza kuwa wagonjwa walikuwa hawatibiki na dawa hiyo ilitokea mwaka 2008. Tatizo hilo tangu hapo limeenea katika maeneo mengine ya Asia ya Kusini.
Utafiti huu umechapishwa katika jarida la ''Nature Genetics.''
Mtafiti mkuu Daktari Olivo Miotto, wa chuo kikuu cha Oxford na kile cha Mahidol nchini Thailand,amesema kuwa dawa zote zenye uwezo wa kuua Malaria na ambazo zimevumbuliwa katika miaka ya hivi karibuni, zimekuwa ovyo katika kutibu Malaria.
"Dawa ya Artemisinin kwa sasa inafanya kazi vyema. Ndio silaha nzuri zaidi dhidi ya ugonjwa huo na tunahitaji kuendelea kuitumia,'' alisema Daktari Miotto
Magharibi mwa Cambodia kumetajwa kama sehemu yenye Malaria sugu.
Haileweki ni kwa nini tangu mapema miaka ya 1950, viini vya Malaria katika eneo hilo, vimekuwa sugu. Tatizo hilo pia limesambaa hadi katika sehemu kadhaa za Asia na Afrika.
Kwa sasa wanasayansi wana wasiwasi kuwa hali sawa na hiyo itajitokeza kwa dawa ya Artemisinin. Dawa hiyo inatumika kote duniani kukabiliana na Malaria, na inaweza kutibu ugonjwa kwa siku chache tu ikiwa itatumika na mchanganyiko wa dawa zengine.

Sunday, April 28, 2013

Israel points finger at Iran over drone from Lebanon

Israel believes that Iran's Revolutionary Guard was responsible for the unmanned drone launched from Lebanon that was shot down in Israeli airspace on Thursday.

Israel points finger at Iran over drone from Lebanon
An Israeli navy vessel and helicopter search for the wreckage of the drone shot down by the air force  Photo: AP
The United States has urged Israel to demonstrate restraint in its response to the alleged incursion, according to Lebanese media reports.
"The Israeli military command doesn't treat drones launched from Lebanon lightly, since their goal may be not only taking pictures, but also an assassination of senior officials, military or political," an unnamed Western diplomat is quoted in Nahar newspaper.
The Israeli prime minister was flying across northern Israel when the drone was spotted above the sea on Thursday, 10km west of the port city Haifa. Mr Netanyahu's helicopter was forced to land and was grounded until the Israeli Air Force had secured Israeli air space.
Initial media reports presumed the drone had been launched by Hizbollah. In October last year, the Lebanese militant group has claimed as a great victory their successful piloting of an unmanned drone in the skies above the Israeli Negev for more than half an hour before it was downed, several miles from Israel's Soreq nuclear facility. In fact, the Israeli military had stated only that an unmanned aircraft had been launched "from Lebanon".
Iran's involvement in this cross-border incident, and Washington's pleas for restraint, may explain Benjamin Netanyahu's failure to threaten retaliation for the incursion. The Israeli prime minister said only that he has taken "the attempt to breach our borders very seriously".
According to Syrian rebels and Israeli intelligence, Tehran has poured Revolutionary Guard soldiers into Syria and Lebanon to support its Shiite allies. The Iranian fighters, thought to include several senior commanders, have been tasked with arming and training Syrian soldiers in sophisticated weaponry, such as short and long range missiles, and upgrading Hizbollah's drone capabilities. Arab media outlets have reported that Iran transfers five tonnes of weaponry into Syria every week.
But while drone flights over Israel may be provocative, it is Bashar al-Assad's vast cache of chemical weapons in Syria that are of urgent concern to both Israel and the US. Barak Obama warned the Assad regime on Friday that proof it had used chemical weapons against its people would be a 'game-changer'.
"Israel has laid down a clear red line that if strategic weapons are moved, it will take action. Otherwise it is sticking by the international understanding that there is almost nothing Israel can do that will make the situation better. There is no great a

Hamas teaches Palestinian schoolboys how to fire Kalashnikovs

Palestinian schoolboys are learning how to fire Kalashnikovs, throw grenades and plant improvised explosive devices as part of a programme run by Hamas's education ministry. 

Palestinian schoolboys are learning how to fire Kalashnikovs, throw grenades and plant improvised explosive devices as part of a programme run by Hamas's education ministry.
A Palestinian boy takes part in military training organized by the Hamas education ministry in Gaza City Photo: AP Photo/Adel\

Adam Afriyie attacks David Cameron over 'jobs for the boys'

A Tory backbencher thought to be considering a future leadership bid has hit out at the “jobs for the boys” culture in David Cameron’s Government. 

Future king of the castle? Adam Afriyie, the multi-millionaire MP was touted as a potential challenger to David Cameron 

Adam Afriyie, the MP for Windsor, said there are too many ministers and that new posts are being created to “alleviate political pressures”.
His comments came just days after the Prime Minister promoted Jo Johnson to head his policy unit.
The Prime Minister appointed Mr Johnson, the Orpington MP and brother of London Mayor Boris, as a Cabinet Office minister last week, giving him a key post overseeing policy.
Labour has accused Mr Cameron of trying to buy loyalty in the Conservative ranks by handing out official roles.
In an article for the ConservativeHome website, Mr Afriyie wrote: “In our 2010 manifesto we were committed to reducing the size of government.

Vince Cable calls for 'protected' pensioners to lose benefits

Pensioners have been protected during the financial crisis and should now lose some of their benefits, Vince Cable has suggested. 

Pensioners 

The Business Secretary said it is an “anomaly” that all elderly people in the UK currently receive universal benefits from the Government.
He made the comments after Iain Duncan Smith, the Work and Pensions Secretary, called on well-off pensioners to voluntarily pay back their taxpayer-funded benefits.
David Cameron has promised to protect universal benefits for pensioners, including the bus passes, television licenses and winter fuel payments, during this Government.
They are almost the only area of welfare spending to remain unaffected by billions of pounds in spending cuts.
However, senior minister including Mr Duncan Smith have hinted that the Conservatives will go into the next election pledging to cut pensioners’ benefits.

Kordofan Kaskazini yakumbwa na ghasia

 28 Aprili, 2013 - Saa 17:41 GMT


Wakaazi wa mji muhimu wa Sudan ambao ulishambuliwa na wapiganaji hapo jana, wamechoma moto majengo ya serikali na kuwarushia mawe wakuu wa jimbo.
Wapiganaji wa JEM wakiwa Darfur
Walikuwa wakipinga ziara ya gavana wa jimbo ambaye alizuru mji wa Umm Rawaba, kwenda kuona uharibifu uliosababishwa na mapigano.
Wapiganaji wa kundi la JEM na wapiganaji wengine waliuteka mji wa Umm Rawaba kabla haujakombolewa na jeshi la serikali.
Kawaida wapiganaji wa GEM wanaendesha harakati zao katika jimbo la Darfur.
Waandishi wa habari wanasema shambulio hilo lilikuwa la kijasiri kwa sababu limetokea katika jimbo la Kordofan Kaskazini, eneo ambalo lilikuwa halikuathirika na harakati za wapiganaji.